HABARI>>>> KIMENUKA DODOMA - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

HABARI>>>> KIMENUKA DODOMA

Share This
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amedai Wabunge wa CCM wamehongwa Shilingi Milioni 10 kila mmoja ili wasaidie kupitisha Muswada wa Habari.

Mbowe amesema kikao hicho kilifanyika mnamo tarehe 25/10/2016 saa mbili usiku na kiliongozwa na Waziri Mkuu akiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana.
Mbowe aliyasema hayo akimuuliza swali la papo kwa hapo Waziri Mkuu, hata hivyo swali hilo lilikataliwa na Naibu Spika kwa madai kuwa sio la Kisera.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages