Rais Magufuli amemteua Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungnaanzaano wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA) na uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.
Rais Magufuli amemteua Dkt. Jones A. Kilimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) na amemteua Sylvester M. Mabumba kuwa makamu Mwenyekiti wa Bodi ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) kuanzia November 17 2016
Rais Magufuli amemteua Prof. Patrick Makungu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya shirika la Uhandisi na usanifu Mitambo (TEMDO) na uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.
Rais Magufuli amemteua Martin Madekwe kuwa mwenyekiti wa Bodi ya mfuko wa fidia ya ardhi ambapo uteuzi wake umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.Rais Magufuli amemteua Prof. Raphael Tihelwa Chibunda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu vya Kitropiki Tanzania (TPRI) na uteuzi wake umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.
No comments:
Post a Comment