Leo November 4 2016 yametajwa majina 24 ya wachezaji watakaiongoza Tanzania kucheza dhidi ya Zimbabwe, majina yote 24 yakiongozwa na nahodha wao Mbwana Samatta yamechaguliwa na kocha Mkwasa
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars November 13 2016 itacheza dhidi ya timu ya taifa ya Zimbabwe katika mchezo wa kirafiki, Taifa Stars itacheza mchezo huo wa kirafiki katika mji wa Harare Zimbabwe.
MAKIPA
Aishi Manula (Azam)
Said Kipao (JKT Ruvu)
,
MABEKI
Andrew Vincent (Yanga),
MABEKI
Andrew Vincent (Yanga),
David Mwantika (Azam),
Haji Mwinyi
(Yanga),
Mohamed Husein (Simba,
Michael Aidan ( JKT Ruvu )
James
Mwasote ( Prisons).
VIUNGO
: Himid Mao ( Azam),
Mohamed Ibrahim(Simba)
Shiza Kichuya,(Simba)
Jonas Mkude,(Simba)
Mzamiru Yassin(Simba),
Jamal Mnyate ( Simba),
Simon Msuva, ( Yanga)
.
WASHAMBULIAJI
Omar Mponda ( Ndanda)
WASHAMBULIAJI
Omar Mponda ( Ndanda)
Thomas Ulimwengu (Huru ),
Ibrahim
Ajib ( Simba) ,
John Bocco ( Azam)
Mbwana Samatta ( Genk )
No comments:
Post a Comment