SPORT>>>>> MCHEZO WA YANGA VS RUVU WASOGEZWA MBELE - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

SPORT>>>>> MCHEZO WA YANGA VS RUVU WASOGEZWA MBELE

Share This
Mchezo kati ya Yanga na Ruvu Shooting umesogezwa mbele hivyo utachezwa tarehe 10 Nov badala ya kesho (tarehe 9) kama ilivyopangwa awali.

Maamuzi hayo yamekuja baada ya Klabu ya Ruvu kusema kuwa haipo tayari kucheza mchezo huo kesho (tarehe 9) baada ya timu hiyo kuwasili leo Mlandizi (tar 8 ) majira ya saa 4:15 asubuhi ikitokea Kagera.

Awali mchezo huo ulihairishwa mpaka tarehe 10 Nov ili kupisha Mechi ya Yanga ya Kimataifa, baadae ukarudishwa tarehe 11. Kabla ya kuhamishwa tena hapo jana na kuwekwa tarehe 9 Nov.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages