BREAKING NEWS>>>>TANZIA JOSEPH MUNGAI AMEFARIKI DUNIA LEO - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

BREAKING NEWS>>>>TANZIA JOSEPH MUNGAI AMEFARIKI DUNIA LEO

Share This
                                 R.I.P NDG.JOSEPH MUNGAI
Aliyekuwa mbunge wa Mufindi na Waziri wa elimu awamu ya tatu,Ndg Joseph Mungai afariki dunia
Aliwahi kuwa Waziri mwandamizi katika wizara mbalimbali, ikiwemo Wizara yaElimu, Ndg.Joseph Mungai, amefariki dunia jioni ya leo, katika hospitali ya taifa ya  Muhimbili  alipokua akipatiwa matibabu.


Aidha mwanasiasa huyo mkongwe nchini alikihama chama chake cha CCM na kujiunga na chama cha siasa cha CHADEMA katika harakati za uchaguzi
mkuu mwaka 2015.

 Mungu ailaze mahala pema peponi  amina

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages