Madini mapya yamegunduliwa nchini Tanzania, katika eneo lenye madini ya kipekee la Manyara, na kupewa jina Merelaniite.
Jina
hilo limetokana na eneo ambalo madini hayo yalipatikana, Merelani
(Mererani) katika milima ya Lelatema katika wilaya ya Simanjiro katika
eneo la Manyara.Eneo hilo linafahamika sana kwa madini ya Tanzanite.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>
No comments:
Post a Comment