MPYAA >>>> JPM ALILIA FIESTER - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MPYAA >>>> JPM ALILIA FIESTER

Share This
Ni Masaa 2 na dakika 45 ya Rais Magufuli kusimama akiongea na Vyombo vya Habari leo tarehe 4 Novemba 2016.Raisi John Magufuli amesema anatamani kesho angekuwepo kwenye FIESTER angalau akapige tumba pale jukwaani hata dakika chache tu ili aweze kufurahia mwamka mmoja wake
.

AKiongea leo na Wahariri na waandishi wa vyombo vya Habari Rais John Magufuli amesema yeye ni mwanamichezo lakini awezi kwenda viwanjani ambapo timu ikifungwa mashabikiwake wana ng'oa viti,nakusisitiza kuwa  bora aende kutazama NDONDO CUP.

Nakumpongeza waziri mwenye zamana ya michezo kwa hatua ya kuifungia timu hizo kuto kuchezea ktk kiwanja hiko kwasababu kimetumia gharama nyingi harafu wanaharibu .

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages