TANZIA: Mwenyekiti wa Klabu ya Azam na Mjumbe wa Bodi ya Ligi Kuu, Said
Mohammed amefariki ambae pia ni Makamu
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi amefariki dunia muda mfupi uliopita katika
hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam.
Taarifa
za kifo chake zimethibitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Azam FC, Saady
Kawemba kwamba marehemu ambaye pia alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji
ya TFF amepatwa na umauti huo akiwa anaendelea na matibabu hosptal ya aghakhani.
Post Top Ad
Responsive Ads Here

HABARI>>>> TANZIA MWENYEKITI AZAM FC AFARIKI DUNIA
Share This
Tags
# HABARI
Share This
About gambatheboss
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI
" Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment