BREAKING NEWS>>>>> MBUNGE HAFIDH TAHIR ALLY WA ZANZIBAR HATUKO NAE TENA. - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

BREAKING NEWS>>>>> MBUNGE HAFIDH TAHIR ALLY WA ZANZIBAR HATUKO NAE TENA.

Share This

Tanzia alie kuwa mbunge wa Jimbo la Dimani Fum ba ZNZ- CCM, leo alfajiri majira ya Saa Tisa mh. Hafidh Tahir ALLY amefariki katika general hospital Dodoma.
Kifo chake kimekuwa ghafla, kwani Jana Wabunge wenzie wa Yanga walimchagua kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Tawi la Wabunge wana Yanga Dodoma, Chini ya Uwenyekiti wa Venance Mwamoto.
Mh Hafidhi alipewa Heshima hiyo kwakuwa huko Nyuma amekuwa Mwamuzi wa FIFA kwa Muda Mrefu.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages