TANZANIA NA CONGO KUSHIRIKIANA KATIKA BIASHARA - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TANZANIA NA CONGO KUSHIRIKIANA KATIKA BIASHARA

Share This


Baada ya raisi wa jamhuri ya kidemokrasi ya congo kutua nchini azungumzia haya....
RAIS Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemorasi ya Congo amesema nchi yake itaimarisha biashara na Tanzania ili kukuza uchumi wa nchi hizo.
Rais Kabila amesema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) jijini Dar es Salaam.
Awali Rais John Magufuli amesema yeyote atakayesababisha wafanyabiasra wa DRC kushindwa kufanya biashara kupitia bandari ya Dar es Salaam atachukuliwa hatua haraka iwezekanavyo na kumuagiza balozi wa DRC hapa nchini, Jean-Pierre Mutamba kutoa taarifa kwake kuhusu usumbufu wowote watakaopata wafanyabiashara wa nchi hiyo.
Kwa habari zaidi...........

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages