SPORT>>>>BAADA YA MBAO SASA NIZAMU YA MBEYA CITY - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

SPORT>>>>BAADA YA MBAO SASA NIZAMU YA MBEYA CITY

Share This


Baada ya mchezo wa jana zidi ya  mbao fc nakushinda 3 bila. Leo Tim ya Yanga wamekwea pipa nakuwasili salama jijini Mbeya tayari kwa kucheza na Mbeya city. 
Wachezaji waliopo katika msafara huo kwa ajili ya mechi ya jumatano dhidi ya Mbeya City ni hawa wafuatao
;
1. Magolikipa
- Deogratius Munishi
- Beno Kakolanya
- Ali Mustafa


2. Walinzi
- Nadir Haroub
- Kelvin Yondani
- Vicent Bossou
- Andrew Vicent
- Hassani Kessy
- Mwinyi Haji
- Pato Ngonyani
- Oscar Joshua

3. Viungo
- Haruna Niyonzima
- Thabani Kamusoko
- Mbuyu Twite
- Saidi Juma
- Saimoni Msuva
- Juma Mahadhi
- Deusi Kaseke
- Yusufu Mhilu
- Geofrey Mwashuiya

4. Washambuliaji
- Donald Ngoma
- Amisi Tambwe
- Obrey Chirwa
- Mateo Antony

5. Benchi la ufundi
- Hans Van Pluijm ( Kocha mkuu )
- Juma Mwambusi ( Msaidizi )
- Juma Pondamali ( Kocha wa makipa )
N/B: Wachezaji waliobaki Dar es salaam
- Juma Abdul ( majeruhi )
- Malimi Busungu.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages