NEWS>>> BOT KUCHUKUA JUKUMU LA TWIGA - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NEWS>>> BOT KUCHUKUA JUKUMU LA TWIGA

Share This

Leo October 28 2016 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Benno Ndullu aliita waandishi wa habari kwa  Dharura, mbele ya waandishi wa Habari ametoa taarifa kuwa Benki kuu ya Tanzania imechukua usimamizi wa benki ya ‘Twiga Bancorp’ kuanzia October 28 2016
.
Gavana wa benki hiyo ameeleza kuwa uamuzi huo umechukuliwa baada ya kubaini kuwa benki ya Twiga ina upungufu mkubwa wa mtaji kinyume na matakwa ya sheria ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2006 na kanuni zake. 


Kutokana na uamuzi huo benki kuu ya Tanzania imesimamisha bodi ya wakurugenzi na uongozi wa benki ya Twiga na imemteua Meneja msimamizi ambaye atakuwa na jukumu la kusimamia shughuli za benki ya Twiga kwa kipindi ambacho itakuwa chini ya usimamizi wa benki kuu.


Hivyo BOT imesema kuwa katika kipindi kinachokadiriwa kufikia wiki moja kuanzia siku leo October 28 2016, shughuli za utoaji wa huduma kibenki za benki ya Twiga zita simama kwa mda 

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages