MPYA >>>> SUMAYE APEWA NOTICE YA SHAMBA LAKE - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MPYA >>>> SUMAYE APEWA NOTICE YA SHAMBA LAKE

Share This


.
Leo October 27 2016 mbele ya waandishi wa habari Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, William Lukuvi, waandishi wamemuliza kuhusu ulipofikia mgogoro wa shamba hilo ambapo alijibu kuwa wameshatoa notice ya kumfutia umiliki wa shamba Sumaye sababu ni kwamba hajaliendeleza shamba hilo, 
Waziri mwenye dhamana, William Lukuvi alisema kuwa tayari wameshampa notisi kisheria na kinachosubiriwa ni sahihi ya Serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imenza rasmi mchakato wa kumnyang’anya shamba Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye kwa kulimiliki muda mrefu bila kuliendeleza.


Shamba hilo linaloingia mikononi mwa Serikali, ni lile liliko katika eneo la Mwabwepande jijini Dar es Salaam ambalo mwishoni mwaka jana, wananchi waliobomolewa nyumba zao walilivamia na kujenga.



No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages