Aliyewahi kuwa meya wa Dar es
Salaam na
Aliyewahi kuwa meya wa Dar es
Salaam na mbunge wa Afrika Mashariki, Dr Didas Massaburi amefariki dunia
usiku huu katika hospitali ya taifa Muhimbili mahali alikokuwa akipata
matibabu yake.
mbunge wa Afrika Mashariki, Dr Didas Massaburi amefariki dunia
usiku huu katika hospitali ya taifa Muhimbili mahali alikokuwa akipata
matibabu yake.
No comments:
Post a Comment