Wakati watanzania tukinungunika kwa kukosa tuzo za MTVmama usiku wa kuamkia tarehe 23 usiku huohuo nchini marekan nako kulikuwa natuzo zijulikanazo kama African Enterntaiment Award Usa 2016
Ambapo wa Tanzania wenzetu nao pia walishiriki katika tuzo hizo na kutwaa tuzo kwenye baazi ya vipengele
Tuzo aliyoshinda Harmonize alikua anashindana na Tekno Miles,Ziza Bafana,Ayo Jay,Missy Bk,Jay Oliver,Den G,Togar Howard na Ziza Bafana.Tuzo aliyoshinda AY wimbo bora wa kushirikiana alikua akishinda na Nagharamia ya Christian Bella na Alikiba,Woju ya Kiss Daniel akiwa kamshirikisha Davido na Tiwa Savage,Pimpina ya Obrafour akiwa kamshrikisha Bisa Kdei,Porque te amo ya To Semedo akiwa kamshirikisha Boss Ac na wimbo wa Nagode wa Yemi Alade akiwa kamshirikisha Selebobo.
Tuzo aliyoshinda Dj D Ommy alikua akishinda na Dj Tunez,Dj Van,Dj Mensah,Dj Brazao,Dj BossMan na Dj Jimmy Jatt,tuzo ya msanii bora wa kiume aliyoshinda Diamond kipengele hicho alikua na Eddy Kenzo,Wizkid,Mc Galaxy,Nelson freitas,Coreon Du na Master jake.
Post Top Ad
Responsive Ads Here

Hizi ndizo tunzo walizo shinda wa Tanzania
Share This
Tags
# HABARI
Share This
About gambatheboss
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI
" Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment