BREAKING NEWS >>>>> Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai atenguliwa - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

BREAKING NEWS >>>>> Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai atenguliwa

Share This

 

Ikiwa Leo October 29 2016 Rais Dk. John Pombe Magufuli akisherekea siku yake yakuzaliwa 
lakini kaendelea kufanya kazi yake nakufanya mabadiliko wa  kutengua uteuzi wa mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Nchini (DCI) Diwani Athuman 

Taarifa hiyo imesomwa na katibu mkuu kiongozi Balozi John Kijazi nakusisitiza Rais Magufuli ametengua uteuzi huo kuanzia leo na kwamba Diwani Athuman atapangiwa kazi nyingine
Kufuatia uamuzi huo, uteuzi wa mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai utatangazwa baadaye

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages