NEWS>>>> JUA KINACHO ENDELEA MAREKANI - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NEWS>>>> JUA KINACHO ENDELEA MAREKANI

Share This
Mgombea wa Republican, Donald Trump ameonekana kuongoza  katika uchaguzi wa Urais wa Marekani unaoendelea huku majimbo muhimu yakiwa yameshapiga kura.


 Hillary Clinton alianza vizuri katika uchaguzi huo akiongoza lakini mambo  Trump ameshinda majimbo muhimu yakiwemo Ohio, Carolina Kaskazini na Florida, na sasa yamebaki majimbo 270 ya uchaguzi (electoral votes) 



Pamoja na kura zote zitakazopigwa na Wamarekani leo, bado hazina maamuzi ya moja kwa moja mpaka pale wajumbe 538 wanaoteuliwa kutoka katika majimbo yote 50 nchini humo watakapoamua kupitisha jina moja la mshindi wa Urais.


Kwa mujibu wa sheria za Urais Marekani, ili mgombea athibitishwe kuwa mshindi wa kiti cha Urais inabidi apate sio chini ya kura 270 kutoka kwa wajumbe hao 538 ambao huamua mshindi kwa namna watu walivyopiga kura katika majimbo mbalimbali.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages