Rais
Barrack Obama anatarajiwa kumkaribisha rasmi rais mteule Donald Trump
katika ikulu ya Whitehouse leo, mnamo wakati maelfu ya raia wa Marekani
wameandamana katika majimbo mengi nchini humo kupinga ushindi wa
bilionea huyo. Katika maeneo mengine waandamanaji wameziba barabara
hivyo kutatiza shughuli za usafiri na kulazimisha polisi kutumia gesi za
kutoa machozi. Miongoni mwa miji ambayo maandamano yamefanyika ni NewYork, Los Angeles, Carlifornia na Oakland.
wamareani wakipinga trump kushinda
wamareani wakipinga trump kushinda
No comments:
Post a Comment