Kundi la vijana zaidi ya 30 wa baraza la vijana wa chama Chadema wilayani Karatu mkoani Arusha limevamia ofisi ya chama hicho na kuifunga
kwa nguvu wakishinikiza uongozi wa wilaya hiyo kuacha kuendelea kupanga
kwenye kilabu cha pombe na badala yake kujenga ofisi inayotambulika .
Vijana hao wame lalamika wamechoshwa naviongozi wao kuto kujenga jengo ilihalikuwa wamechanga michango nafedha zao kutafunwa wameamua kuifunga ofisi hiyo leo
Vijana hao wame lalamika wamechoshwa naviongozi wao kuto kujenga jengo ilihalikuwa wamechanga michango nafedha zao kutafunwa wameamua kuifunga ofisi hiyo leo
No comments:
Post a Comment