HABARI>>>MAMA JANETI MAGUFURI ALIVYO RUHUSIWA LEO - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

HABARI>>>MAMA JANETI MAGUFURI ALIVYO RUHUSIWA LEO

Share This

Mke wa Rais, Mama Janet Magufuli leo ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kupata nafuu.

 Mama Janet Magufuli kabla ya kuondoka katika Wodi ya Sewahaji alipokuwa amelazwa aliwashukuru Madaktari, Wauguzi na Wafanyakazi wote kwa huduma nzuri walizompatia.

Namshukuru sana Mungu kwamba afya yangu imeimarika, pia napenda kuwashukuru Madaktari na Wauguzi, nimepata huduma nzuri sana maana siku nilipoletwa hapa nilikuwa sina fahamu na hali yangu ilikuwa mbaya lakini mmenipigania na leo narudi nyumbani nikiwa na afya imara

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages