Mara baada tu ya ushindi
wa Donald Trump katika uchaguzi mkuu nchini Marekani kansela wa Ujerumani Angela Merkel kasema rais mteule
Trump atabidi azingatie maadili ya pamoja ya kidemokrasia katika
ushirikiano na Ujerumani na pia akamkumbusha wajibu alionao duniani
baada ya kupigiwa kura kwa wingi na Wamarekani
Hillary Clinton akubali kushindwa na kumpongeza Trump, Viongozi mbalimbali watuma pongezi kwa Trump. kwa ushindi alio upata .
Hillary Clinton akubali kushindwa na kumpongeza Trump, Viongozi mbalimbali watuma pongezi kwa Trump. kwa ushindi alio upata .
No comments:
Post a Comment