TANZIA: Aliyekuwa Spika mstaafu wa Bunge na Waziri Mwandamizi Mhe.
Samuel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko Ujerumani akiwa
katika matibabu... Poleni ndugu , jamaa na marafiki wote.
Namuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi, Ameni”
Mzee Samwel Sitta
amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Technical
University of Munich Ujerumani alikokuwa akipatiwa matibabu tangu mwezi
uliopita.
No comments:
Post a Comment