YANGA sasa kukodishwa rasmi kwa manji
Klabu ya Dar es Salaam
Young Africans kupitia kwa bodi ya wadhamini wa klabu hiyo, leo October 6
2016 imetoa taarifa rasmi ya kuamua kuikodisha klabu hiyo kwa kampuni
ya YANGA YETU LIMITED, bodi ya wadhamini imeikodisha klabu katika
kipindi cha miaka 10.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
MUHTASARI WA MKATABA.
1. Bodi ya Wadhamini wa Young Africans Sports Club, (ambayo hapa inajulikana kama Mmiliki”) imeingia tarehe 3 September, 2016 Mkataba wa kukodishwa na kampuni ijulikanayo Yanga Yetu Limited (inayojulikana hapa kama “Mkodishwaji” kwa muhtasari wa maazimio yaliyoafikiwa katika Mkutano Mkuu wa Young Africans Sports Club uliofanyika tarehe 6 Agosti, 2016 ulitambua kuwa Young Africans Sports Club (anayejulikana hapa kama “YANGA”):>>>>>>>>>habari zaidi
MUHTASARI WA MKATABA.
1. Bodi ya Wadhamini wa Young Africans Sports Club, (ambayo hapa inajulikana kama Mmiliki”) imeingia tarehe 3 September, 2016 Mkataba wa kukodishwa na kampuni ijulikanayo Yanga Yetu Limited (inayojulikana hapa kama “Mkodishwaji” kwa muhtasari wa maazimio yaliyoafikiwa katika Mkutano Mkuu wa Young Africans Sports Club uliofanyika tarehe 6 Agosti, 2016 ulitambua kuwa Young Africans Sports Club (anayejulikana hapa kama “YANGA”):>>>>>>>>>habari zaidi
No comments:
Post a Comment