SPORT>>>>>>>> PICHA: Mrithi wa kocha Hans van Pluijm wa Yanga kawasili Dar es Salaam - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

SPORT>>>>>>>> PICHA: Mrithi wa kocha Hans van Pluijm wa Yanga kawasili Dar es Salaam

Share This
Siku 14 baada ya Dar es Salaam Young Africans kupitia kwa kaimu katibu mkuu wake Baraka Deusdedit atangaze kukanusha klabu hiyo kuwa na mpango wa kumfuta kazi Hans van Pluijm na kurithiwa na kocha wa Zesco United ya Zambia George Lwandamina, hatimae leo October 24 ukweli wa taarifa hizo umeanza kufahamika.

Yanga walikanusha kuwa katika mpango wa kumfuta kazi kocha Hans van Pluijm October 10 2016 lakini sasa kuwasili kwa kocha mzambia mchana wa October 23 George Lwandamina Dar es Salaam kunaanza maliza uvumi wa tetesi hizo, Lwandamina tayari yupo Dar es Salaam licha ya kuwa Yanga hawajathibitisha lolote.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages