SPORT>>>> KIPIGO CHA 6-2 CHAWACHANGANYA KAGERA SUGER - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

SPORT>>>> KIPIGO CHA 6-2 CHAWACHANGANYA KAGERA SUGER

Share This

Klabu ya Kagera Sugar ya Bukoba leo October 27 2016 imewasimamisha wachezaji wake wawili kwa tuhuma za kuhujumu timu hiyo wakati wa mchezo dhidi ya Yanga, uliomalizika kwa Kagera kufungwa goli 6-2.



Kagera Sugar imeripotiwa kuwasimamisha wachezaji wake wawili ambao ni golikipa Husein Shariffu na beki Eric  kiaruz ambaye alisababisha kufungwa kwa goli la tano na  Yanga, hiyo ilikuwa baada ya kurudisha mpira nyuma kwa golikipa David Buruhani lakini ukanaswa na mshambuliaji Dolnad ngoma wa Yanga

huyu ndo kipa alie simamishwa  na kagera suger Hsein Shariffu.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages