SPORT>>>> Hans Van Pluijm a waaga wachezaji rasm ....... - G EMPIRE

G  EMPIRE

PATA HABARI ,MATUKIOMBALIMBALI KWA WAKATI MUAFAKA KUPITIA HAPA GAMBATHEBOSS

Latest in Tech

test banner

Post Top Ad

Responsive Ads Here

SPORT>>>> Hans Van Pluijm a waaga wachezaji rasm .......

Share This
Ni baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Hans van Pluijm kutangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo, baada ya kusikia kuwa kuna kocha kutoka Zesco United ya Zambia George Lwandamina amekuja tayari Tanzania kuchukua nafasi yake, leo October 25 amewaaga rasmi wachezaji wake na benchi la ufundi.



Hans kawaaga wchezaji na benchi lote la ufundi leo hii .lakini atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa alio ufanyia YANGA ikiwamo kutwaa makombe ya ligikuu mfululizo na kushiliki mashindano ya kombe la shilikisho Barani Africa  CAF ambapo ilikuwa ina mda haija shiliki mashindano hayo.

No comments:

Post a Comment

BREAKINK NEWS>>>>.GAMBATHEBOSS IMERUDI HEWANI

     " Tuna ombaradhi wapenzi wa somaji wetu kwa kupotea hewani takribani mwaka mmoja na nusu hivi  kutokana na tatizo lililo kuwa nje ...

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages